PASTOR MYAMBA FILMS

Monday, May 2, 2011

JE KUFA KWA OSAMA KUTAZUIA MAANGAMIZI?..

Bado najiuliza na kiukweli sina jibu kama kufa kwa Osama kutasitisha mashambulio yakigaidi yaliyokuwa yakiendelea Dunia nzima,ama la yanawezachochea maangamizi zaidi hasa ukiangalia historia na desturi ya JIHAD..Anyway tumwachie Mungu. 

No comments:

Post a Comment