PASTOR MYAMBA FILMS

Saturday, April 16, 2011

AKI NA UKWA WA BONGO WAPATA MWENZAO WAMRUKIA KAMA WANAJUANA VILE

It was funny!!,kwa mara ya kwanza wameonana ila walirukiana kama vile wamewahi ishi pamoja kwa mda mrefu duuu
Poz la picha hahahaha
Haya sasa nani anachukua kifaa..
hayaaaa kazana Meya unaweza shinda!!
Mmmh!! Haya
Mzee chilo sijui ndo baba mkwee i don't knw!!!


                                          
Wewe acha utundu shuka alaaah!!!
                                          

No comments:

Post a Comment